Latest Posts

Mama Ajitokeza Kwa TV Akidai Mtoto Wa Mwaka 8 Ni Wa Rais Baada Ya Kunyamazishwa Miaka Mingi

Kulikuwa na sintofahamu kubwa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii jana baada ya mwanamke mmoja kuonekana kwenye runinga ya taifa akitoa madai mazito dhidi ya Rais wa nchi. Mama huyo, anayefahamika kwa jina la Rehema, alisema kwa sauti ya uchungu na machozi kwamba mtoto wake wa miaka 8 ni damu ya Rais lakini alilazimika kunyamaza kwa miaka yote hiyo kutokana na vitisho na hofu.

“Nilikuwa na uhusiano wa karibu sana naye, kipindi bado hajawa mtu mkubwa. Tulikuwa tunapendana sana. Lakini nilipopata ujauzito, mambo yalibadilika ghafla,” alisema Rehema akiwa kwenye mahojiano ya moja kwa moja. “Nilitishwa, nilihamishwa kutoka Dar es Salaam hadi Musoma, nikaambiwa nisijaribu kusema lolote.”

Kulingana na simulizi yake, alikutana na mwanasiasa huyo miaka tisa iliyopita alipokuwa kwenye kampeni za ubunge. Alisema walikuwa wakionana mara kwa mara na hata kulala naye katika nyumba ya wageni moja jijini Mwanza. “Wakati huo aliahidi tutaoana, na hata nikapata mimba hakupinga mpaka pale jina lake lilipoanza kupanda kisiasa. Niligeuzwa adui.” Soma zaidi hapa.

Latest Posts

Don't Miss

Stay in touch

To be updated with all the latest news, offers and special announcements.

error: Content is protected !!