Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na East Africa Radio na East Africa TV kwa pamoja imeandaa matembezi ya hisani kwa lengo la kuhamasisha ujenzi wa matundu ya vyoo na ununuzi wa taulo za kike, kwa wanafunzi wanaosoma katika mazingira magumu.
Matembezi hayo yatafanyika Agosti 25, 2024 kwa undani wa taarifa hii tafadhali tazama na soma kiperurushi hiki hapa chini
