Samwel Salum Mkazi wa kimara Jijini Dar es Salaam amelaani maandamano ya Oktoba 29 akieleza kuwa lengo lake lilikuwa kuharibu mali, kujeruhi na kusababisha hasara kubwa kwa uchumi wa Tanzania.
Bwana Samwel ameyasema haya alipozungumza na waandishi wa Habari kuhusu manufaa na athari za maandamano hayo ambayo kwake ameyaita vurugu na Wala sio maandamano kwani yalikuwa hayana ujumbe wowote kwa Serikali
