Latest Posts

KATIBU MWASANGUTI AWAHIMIZA WANANCHI KWENDA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAZI

 

Katibu wa CCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Ndg. Sure Mwasanguti, leo amefika katika Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa kilichopo Ofisi ya Kijiji cha Kalenga, mkoani Iringa, na kujiandikisha kwenye Daftari la Wakazi, tayari kushiriki uchaguzi utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Akizungumza baada ya kukamilisha utaratibu huo, Katibu Mwasanguti amewahimiza wananchi wote kujitokeza kujiandikisha katika daftari hilo la wakazi kuanzia Oktoba 11 hadi 20, 2024.

Latest Posts

Don't Miss

Stay in touch

To be updated with all the latest news, offers and special announcements.

error: Content is protected !!