Nilikuwa nimezoea watu kunishangaa kila nilipoingia kwenye daladala au sehemu yenye viti vya plastiki. Wengine walifanya mzaha, wengine walinicheka, lakini wengi waliongea kwa sauti ya chini kana kwamba siwezi kusikia.
Ukweli ni kwamba nilikuwa na uzito kupita kiasi. Tumbo langu lilining’inia mpaka hata kujifunga viatu ilikuwa kazi nilihitaji kukaa kwenye kitanda, kuinama kwa muda mrefu huku nikivuja jasho. Na hata hivyo, viatu vingine nilivivaa tu bila kufunga.
Kila asubuhi ilikuwa mateso: kuchagua nguo za kazi, kuzivaa, na kupita mbele ya kioo kisha kujutia maisha. Nilijitahidi sana. Nilinunua dawa za Kizungu, nilijaribu “detox” za Instagram, hata nilijiandikisha kwenye gym. Soma zaidi hapa