Kuna wakati nilihisi kama maisha yangu hayakuwa yangu tena. Popote nilipoenda, nilihisi kama kuna mtu nyuma yangu. Sikuweza kuelezea kwa maneno, lakini kila mara nikiwa barabarani, kazini au hata nyumbani nilihisi kufuatwa.
Nikiwa peke yangu, nilisikia hatua. Nikiwa na watu, niliona vivuli ambavyo wengine hawakuweza kuviona. Wengine walidhani labda ni mawazo tu au hofu isiyo na msingi, lakini mimi nilijua kuna kitu kilikuwa kinanifuata.
Kwa muda mrefu nilijaribu kukana hali hiyo. Nilikwenda hospitali, nikaambiwa labda nina..Soma zaidi hapa.